Doa - Kithaka Wa Mberia - Boeken - Marimba Publications - 9789966794420 - 7 september 2018
Indien omslag en titel niet overeenkomen, is de titel correct

Doa

Prijs
€ 26,49

Besteld in een afgelegen magazijn

Verwachte levering 2 - 16 sep.
Ontvang meldingen over nieuwe releases van Kithaka Wa Mberia
Voeg toe aan uw iMusic-verlanglijst

Nog niet beoordeeld

Profesa Kithaka wa Mberia anafundisha na kufanya utafiti katika Idara ya Isimu na Lugha, Chuo Kikuu cha Nairobi, Nairobi, Kenya. Mbali na kufundisha na kufanya utafiti, anajishughulisha na uandishi wa mashairi na tamthilia. Tamthilia yake maarufu iitwayo Kifo Kisimani ilikuwa kitabu cha lazima katika mtihani wa kidato cha nne nchini Kenya kuanzia 2006 hadi 2012. Tamthilia yake nyingine iitwayo Natala ilikuwa kitabu cha kutahiniwa katika vyuo vya walimu, pia nchini Kenya, kuanzia 2005 hadi 2016. Mwandishi amewahi kukariri mashairi yake katika maeneo kadhaa ikiwa ni pamoja na Kenya, Tanzania, Iran, Marekani, US Virgin Islands, United Arab Emirates, Upolanzi, Ujerumani na Italia.

Mbali na Doa, Kifo Kisimani na Natala, Profesa Kithaka wa Mberia amechapisha vitabu vingine ambavyo ni Mchezo wa Karata (mashairi), Bara Jingine (mashairi), Redio na Mwezi (mashairi), Msimu wa Tisa (mashairi), Rangi ya Anga (mashairi) na Maua Kwenye Jua la Asubuhi (tamthilia). Diwani nyingine zake mbili za mashairi, Mvumo wa Helikopta na Bustani ya Miungu (huenda vichwa hivi vikabadilkika), zinatarajiwa kuchapishwa mwaka

huu na mwaka ujao mtawalia.

Media Boeken     Paperback Book   (Boek met zachte kaft en gelijmde rug)
Vrijgegeven 7 september 2018
ISBN13 9789966794420
Uitgevers Marimba Publications
Pagina's 130
Afmetingen 127 × 178 × 8 mm   ·   108 g
Taal en grammatica Swahili  

Meer door Kithaka Wa Mberia

Alles tonen

Meer van dezelfde uitgever